Sunday, July 3, 2016

 Viazi mviringo
Mchele super kutoka kyela umeshachambuliwa kabisa wewe ni kuosha tu na kuanza kupika tunauza kwa kilo sh 2500 kwa kilo moja tuna package ya kilo 3 na kilo 5 karibuni
Nyumbani food derivery tunakusogezea hue umma za sokoni mlangoni kwako Karibu ujipatie mahitaji yako ya kila siku kwa bei poa kabisa karibuni 

Saturday, July 2, 2016

Karibu dagaa wa zuri kutoka bukoba hawana michanga tumewachambua kabisa kwa bei ya 8000 kwa kilo moja karibuni